Lyrics

kestine mbogo nimepakwa mafuta mabchi lyrics

Nimepakwa Mafuta Mabichi Lyrics by Kestine Mbogo

Verse 1 Tazama, Nimepewa nguvu, mamlaka Ya kukanyaga nguvu za giza Verse 2 Tena, nimejazwa na Roho Mtakatifu Nimo ndani yake, Yesu ndani yangu Verse 3 Walio upande wangu Ndio wengi kuliko maadui Siwezi shindwa, siwezi zimia Verse 3 Nimepakwa mafuta mabichi Pembe yangu umeiinua Verse 4 Ndio maana nina uhakika Nitashinda, mimi nimshindi English

Nimepakwa Mafuta Mabichi Lyrics by Kestine Mbogo Read More »

Scroll to Top